Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Viongozi wa umri mdogo zaidi duniani
Iliyochapishwa
Emmanuel Macron, 39, ndiye rais wa umri mdogo zaidi kuwahi kuongoza Ufaransa.
Amevunja rekodi ya miaka 170 iliyokuwa inashikiliwa na Louis-Napoleon Bonaparte aliyeingia madarakani mwaka 1848 akiwa na miaka 40.
Hii hapa ni orodha ya viongozi wa umri mdogo zaidi duniani kwa sasa.