Meza ndefu zaidi duniani yaundwa Ghana
Iliyochapishwa
Kampuni moja ya kutengeneza samani nchini Ghana imeunga meza ambayo imetambuliwa na Guinness World Records kuwa ndefu zaidi duniani.
Kwenye meza hiyo, wanaweza kuketi wageni 3,900.
Kampuni moja ya kutengeneza samani nchini Ghana imeunga meza ambayo imetambuliwa na Guinness World Records kuwa ndefu zaidi duniani.
Kwenye meza hiyo, wanaweza kuketi wageni 3,900.