Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Nyota wa Rap Jay-Z kuwa afisa mkuu wa kampuni ya bangi
Iliyochapishwa
Mwanamziki rapa maarufu wa Marekani Jay-Z ametajwa kama "afisa mkuu wa maono" wa kampuni kubwa mpya ya bangi. Bangi ni halali katika majimbo kadhaa ya nchini marekani, ikiwemo California, ambapo sasa ni biashara kubwa. Jay-Z ataongoza mikakati ya kampuni ya TPCO na kuandikisha "wasanii wengine mashuhuri kukuza biashara hiyo