Charli D'Amelio afikisha mashabiki milioni 100 Tik Tok

Iliyochapishwa

Charli D'Amelio ni msichana mwenye miaka 16 ambaye kwa sasa ndio bingwa wa Mtandao wa TikTok kwa kua wa kwanza kufikisha mashabiki milioni 100.

Charli kutoka Norwalk, Connecticut, amepiga hatua hiyo baada ya mwaka mmoja na nusu kwenye programu hiyo.

Je wewe una mashabiki wangapi kwenye kurasa zako za kijamii ? sema nasi bbcswahili.