Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
US Open: Dominic Thiem kutoka Australia aibuka bingwa
Iliyochapishwa
MuAstraliaDominic Thiem ameshinda taji la tenisi la wanaume la US Open kwa kumshinda Alexander Zverev katika mchuano uliojumuisha seti 5 uliochapwa ukumbini Flushing Meadows huko New York. Mechi hiyo ilichezwa bila mashabiki kwa sababu ya janga la corona, na ndipo Thiem alipojipatia Grand Slam yake ya kwanza.