Corona: Utafiti unaonyesha kuwa usafi umepungua na ulaji Ice Cream umeongezeka

Iliyochapishwa

Kipindi cha kufungia shughuli za kawaida na kutotoka nje yaani lockdown kimebadilisha kabisa mienendo ya maisha ya watu. Huko Uingereza wengine wamekuwa wakibugia icecream zaidi lhuku wakipunguza kwa sana tabia za awali kama vile kujipodoa na kuvalia nadhifu , mambo ambayo yalikuwa ya kawaida wakati watu walikuwa wanakwenda kazini.