Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Je, Mwanamuziki Burna Boy, ndiye bora zaidi Afrika?
Iliyochapishwa
Mwanamuziki Burna Boy amezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii hasa nchini Nigeria baada ya kuandika kwenye ukurasa wake wa twitter kwamba yeye ndiye mwanamuziki bora zaidi kuwahi kuwa baada ya Fela Kuti- mwanamuziki aliyefariki mwaka wa 1997.
Je, unakubali kuwa Burna Boy ndiye nyota wa Afrika kwa muziki?