Mwanamfalme Harry na mkewe 'kutojihusisha' na shughuli za kifalme
Iliyochapishwa
Familia ya kifalme ya Uingereza imesikitishwa na maamuzi ya mwanamfalme Harry na mkewe Meghan kutangaza 'kuacha' kujihusisha na shughuli za kifalme.
Familia ya kifalme ya Uingereza imesikitishwa na maamuzi ya mwanamfalme Harry na mkewe Meghan kutangaza 'kuacha' kujihusisha na shughuli za kifalme.