Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Klopp alalamikia kuhusu mechi mbili zinazofuatana za ligi ya Premia
Iliyochapishwa
Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp amesema ni ‘kosa’ kwa timu kadhaa zinazoshiriki ligi ya Premia wakitakiwa kucheza mechi mbili kwa siku tatu katika msimu wa sherehe. The reds wanatarajiwa kuelekea ugani Kings power hii leo kabla ya kuwakaribisha Wolves siku ya Jumapili. Liverpool utakuwa imecheza mechi 9 mwezi disemba pekee.