Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tanzania na Uenyekiti wa AU: Ikifika wakati muafaka tutasema- January Makamba
Tanzania na Uenyekiti wa AU: Ikifika wakati muafaka tutasema- January Makamba
Iliyochapishwa
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba amesema kuwa mashauriano katika ukanda wa Afrika mashariki juu ya uenyekiti wa umoja wa Afrika unaendelea na ikifika wakati muafaka Tanzania itatoa kauli yake.
Makamba ameyesema hayo wakati wa mazungumzo maalum na mwandishi wa BBC Leornad Mubali.