Mtanzania mwenye asili ya Uingereza anavyopigania lugha ya Kiswahili

Maelezo ya video, Richard Mabala: Mtanzania mwenye asili ya Uingereza anavyopigania lugha ya Kiswahil
Mtanzania mwenye asili ya Uingereza anavyopigania lugha ya Kiswahili
g
Iliyochapishwa

Mwandishi wa vitabu na mtunzi wa mashairi Richard Mabala ameiambia BBC ni lazima kukubali kua lugha inakua hivyo maneno mapya yanazaliwa kutokana na namna vijana wanavyowasiliana sasa hayana budi kurasimishwa

Mabala ambaye kwa asili ni rai awa Uingereza na sasa ni Mtanzania amekua moja ya watu wanaopigania Kiswahili kutumika kama lugha ya kufundishia nchini Tanzania ili kuwezesha wanafunzi kuelewa kwa urahisi

Mwandishi wa BBC Eagan Salla alizungumza naye na kutuandalia taarifa hii