Waislamu wa madhehebu ya Answar Sunnah washeherekea Eid Tanzania
Waislamu wa madhehebu ya Answar Sunnah washeherekea Eid Tanzania
Iliyochapishwa
Nchini Tanzania, wakati Waislamu wengi bado wanatazamia kusheherekea siku kuu ya Eid Ul-Fitr kesho, madhehebu ya Answar Sunnah leo wameendelea na sherehe hizo.
Akiwa Kigoma, magharibi mwa Tanzania, Eagan Salla alituandalia taarifa hii.



