Mfuga mende: Jamii ilifikiri nilikuwa na kichaa

Maelezo ya video, Jamii ilifikiri nilikuwa na kichaa': Mtu anayefuga mende
Iliyochapishwa

Fundi seremala kutoka Tanzania, aliyeanzisha namna mpya ya kilimo isiyo ya kawaida ufugaji mende.

Biashara yake imepata mafanikio nchini China na sehemu nyinginezo za ulimwengu ambapo aina fulani za mende huchukuliwa kuwa kitamu kwa kuliwa. Lakini imezua tafrani katika jamii yake.