Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Jukwaa la maonesho ya ubunifu wa watoto Tanzania
Iliyochapishwa
Kumekuwa na changamoto ya majukwaa ya watoto kuonesha vipaji vyao.
Lakini pia wabunifu kuonesha bidhaa za Watoto kama vile nguo na viatu, mitindo ya nywele na vitu vinavyohusiana na Watoto.
Kulingana na changamoto hii mbunifu Khadija Mwanamboka akaona ni vyema aanzishe tamasha mahsusi kwa watoto kuonesha vipaji mbalimbali katika tasnia ya mitindo nchini Tanzania.
Mwandishi wa BBC Frank Mavura ametuandalia Habari hii