Sala ya Eid al-Adha zaendelea wakati makombora yakipigwa Afghanistan

Iliyochapishwa

Huu ni wakati ambao makombora yalikuwa yanapigwa katika mji wa Kabul nchini Afghanstan, karibu na Ikulu ya rais wakati wa sala za sherehe za Eid al-Adha.

Licha ya makombora hayo, rais Ashraf Ghani na wakuu wengine wakiendelea na sala wakati wa matangazo ya moja kwa moja ya runinga.

Shambulio hilo limetokea wakati ambao taifa hili liliondoa majeshi ya kigeni baada ya miaka 20.

Serikali ya Taliban imekanusha kuhusika na matukio hayo.