Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Zanzibar kuyapatia thamani mazao ya bahari
Iliyochapishwa
Serikali ya awamu ya nne visiwani Zanzibar imeazimia kuleta mageuzi ya kiuchumi kisiwani humo kupitia matumizi sahihi ya bahari.
Ikiwa ni zaidi ya siku 100 toka kuingia kwake madarakani Rais wa Zanzibar Dokta Hussein Mwinyi anasema ni wakati wa kutafuta vyanzo mbadala vya kuichumi hasa katika nyakati hizi ambapo dunia ina pambana na virusi vya corona.