Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Jinsi ugonjwa wa ngozi ulivyonitenganisha na watu wengine
Iliyochapishwa
Bi. Queen Ereba kutoka Nigeria anasema ugonjwa wa ngozi ulimlazimisha kujitenga na watu na hata kuacha shule.
Vilevile alipata shida ya afya ya akili lakini sasa ameandika kitabu kuhusu kile alichokipitia akiwa na matumaini kuwa kitawasaidia kukabiliana na changamoto wanazopitia katika maisha.