Uchaguzi Uganda 2021:Mambo matano unayopaswa kufahamu kuhusu uchaguzi huu

Iliyochapishwa

Raia wa Uganda watapiga kura tarehe 14 Januari, mwaka 2021.

Wagombea wawili wakiwa wanaongoza mpaka sasa ni Yoweri Museveni na mpinzani wake Bobi Wine.

Rais Museveni amekuwa madarakani kwa miaka 35.

Aliyekuwa mwanamuziki Robert Kyagulani, ambaye anafahamika kama Bobi Wine, ameungwa mkono na idadi kubwa ya vijana lakini kampeni zake zilipata misukosuko kutokana na masharti dhidi ya corona.

Haya ndio mambo matano unayopaswa kuyafahamu kuhusu uchaguzi huu: