Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Matokeo ya uchaguzi Tanzania 2020: Serikali ya Tanzania yajibu madai ya vitisho dhidi ya viongozi wa upinzani
Iliyochapishwa
Serikali ya Tanzania imekana ripoti za vitisho dhidi ya viongozi wa upinzani nchini humo, baadhi yao wakiwa wamenukuliwa wakisema kwamba wamekuwa wakipokea vitisho na kuamua kutoroka nchini humo.
Msemaji wa serikali Dkt. Hassan Abbas amesema kwamba ni muhimu kwa kiongozi yeyote ambaye alikuwa ametishiwa kuwasilisha malalamishi yake kwa vyombo vya usalama.