Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Changamoto ya kumuuguza mama wakati wa corona
Iliyochapishwa
Janga la Covid-19 limesababisha changamoto chungu nzima kote duniani. Lakini Sam Loko - 26, ambaye hana ajira anaishi katika kitongoji duni cha Mathare huko Nairobi nchini Kenya, anamuuguza mama yake mwenye maradhi ambayo yamekuwa vigumu kutibika hasa wakati huu wa janga la corona. Mama yake ana matatizo ya shinikizo la juu la damu, kiharusi pamoja na kupoteza fahamu na janga la corona.