Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wanawake wajitosa kwenye sekta ya madini na kuondoa dhana kwamba ni ya wanaume pekee
Iliyochapishwa
Mgodi wa kwanza Afrika unaoendeshwa na wanawake pekee. Wanawake kutoka kijiji cha Karoi, nchini Zimbabwe, wamejitosa katika sekta ya madini. Kulingana na Kituo cha Uzalishaji Madini Afrika, takriban asilimia 40 hadi 50 ya wanawake Afrika wanajitahidi kuvunja dhana ya kwamba sekta hiyo ni ya wanaume pekee kwa kujiunga na sekta ndogo ndogo za madini.