Kenya yatangaza utaratibu mpya wa kuwazika watu waliofariki na Covid-19
Iliyochapishwa
Wizara ya Afya nchini Kenya itaweka utaratibu mpya wa jinsi ya kuzika watu waliofariki kutokana na virusi vya Corona .
Lakini hii inamaanisha nini kwa madai ya hapo awali kuhusiana na miili ya waliofariki na Corona?