Kenya yatangaza utaratibu mpya wa kuwazika watu waliofariki na Covid-19

Maelezo ya sauti, Utaratibu mpya wa mazishi ya watu waliokufa na corona usionyanyapaa
Iliyochapishwa

Wizara ya Afya nchini Kenya itaweka utaratibu mpya wa jinsi ya kuzika watu waliofariki kutokana na virusi vya Corona .

Lakini hii inamaanisha nini kwa madai ya hapo awali kuhusiana na miili ya waliofariki na Corona?