Jinsi mitandao ya kijamii inavyotumika kuuza dawa za kulevya

Iliyochapishwa

Utafiti unaonesha kwamba mmoja kati ya kila vijana wanne sasa hivi huona matangaza ya uuzaji wa dawa za kulevya kupitia mitandao ya kijamii. Polisi imesema kampuni za mitandao ya kijamii ingeongeza juhudi zaidi ikiwa watoto wao ndio wangekuwa wanakufa kutokana na matumizi ya dawa kulevya.