Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Van Gaal na Neyo walihudhuria tamasha la kuwapatia majina Sokwe Rwanda
Iliyochapishwa
Rwanda imewapa majina watoto wa sokwe 25 ikiwa ni desturi inayofanyika kila mwaka kwa ajili ya kuvutia ulimwengu kutembelea sokwe hao .
Wakati huo huo serikali ya nchi hiyo imetangaza kwamba idadi ya sokwe hao iliongezeka kwa kiwango cha asilimia 26 tangu mpango kabambe wa kuwahifadhi ulipoanza mwaka 2003.